M Malaria 2 JF-Expert Member Joined Oct 17, 2023 Posts 9,250 Reaction score 14,145 Yesterday at 9:06 AM #1 Ukweli kwamba anainyosha nchi. Kila goti litapigwa kuanzia Dar hadi Ruvuma, kupitia Lindi na njia ya kuelekea kwa sugu Kama alifanikiwa bunge la katiba hana hata kajeshi kamoja na hata hili atafanikiwa. Mama shujaa
Ukweli kwamba anainyosha nchi. Kila goti litapigwa kuanzia Dar hadi Ruvuma, kupitia Lindi na njia ya kuelekea kwa sugu Kama alifanikiwa bunge la katiba hana hata kajeshi kamoja na hata hili atafanikiwa. Mama shujaa
Kambaku JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 8,903 Reaction score 33,095 Yesterday at 9:14 AM #2 Imepinda kwani? Kama imepinda nani aliipindisha?
A akili mwili mzima JF-Expert Member Joined Nov 13, 2025 Posts 2,158 Reaction score 4,597 Yesterday at 9:46 AM #3 Hakika tunatawaliwa na akili ndogo mnoooi
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 51,966 Reaction score 125,646 Yesterday at 9:47 AM #4