Nje ya commission Kuna pesa,ila Hawa madogo wapumbavu sanaCommission
Wanawaza hela tuNje ya commission Kuna pesa,ila Hawa madogo wapumbavu sana
Wanawaza watalipwaje badala kuhangaikia wapate uzoefu watoke hapo waende mbele zaidi, kazi yenyewe ni ya muda mfupi
Kwahio mshahara wao ni kufungua akaunti , hawana zaidi ya hapo?Kufungia akaunti ni kulipwa kwa commission na akaunti moja ni buku jero alinitonya dada mmoja
Iko hivyo nilienda akiba..... Ikawa ni 3,000 per akaunti........ Ila Kuna bonus kwa zile akaunti ulizofungua zikifikisha deposit fulani ndo utapata bonusKwahio mshahara wao ni kufungua akaunti , hawana zaidi ya hapo?
Ko mfano NBC per month kjn amefungua 10,X 1000=10k...Na kama hawajaweka hela =, Mshahara analaza 10k kwa Mwezi kwlIko hivyo nilienda akiba..... Ikawa ni 3,000 per akaunti........ Ila Kuna bonus kwa zile akaunti ulizofungua zikifikisha deposit fulani ndo utapata bonus
Na commission Ina kuwa withheld.....
Yule dada alinambia ni kujitoa hasa mpk akawa anatafuta kazi nyingine.... Yaan ni hivyo na kila week wanakulipa kwa kazi yako.....Ko mfano NBC per month kjn amefungua 10,X 1000=10k...Na kama hawajaweka hela =, Mshahara analaza 10k kwa Mwezi kwl
Ni msoto sio powah asee,manake hakumaliza mkataba huyo dadaYule dada alinambia ni kujitoa hasa mpk akawa anatafuta kazi nyingine.... Yaan ni hivyo na kila week wanakulipa kwa kazi yako.....
Honestly hata sijui niseme nn Ila Hali halisi ni hiyo mkuu wangu
Alinambia akipata kwingine ata sepa regarding ana mkataba au la Ila ulikuwa wa mwaka mmoja plus Ila kwakua alikuwa anajitahidi kufungua akaunti nyingi akaongezewa mudaNi msoto sio powah asee,manake hakumaliza mkataba huyo dada
Ni haki ya muomba ajira kujua atalipwa bei ganiBadala uwaze utafanyaje kazi ukuze career yako unakuja kuuliza mshahara
Kuna madogo nawasaidia kuwatafutia nafasi za kazi, na kuwaombea
Maswali Yao haya haya ,wanalipa Bei gani
Kizazi kinawaza maslahi tu, wakati huna ujuzi wala experience yoyote
Akmuulize muajiri wake basi sio mitandaoniNi haki ya muomba ajira kujua atalipwa bei gani
Uyo kaipenda kazi yaani mpaka kaongezewa mwaka ana passionAlinambia akipata kwingine ata sepa regarding ana mkataba au la Ila ulikuwa wa mwaka mmoja plus Ila kwakua alikuwa anajitahidi kufungua akaunti nyingi akaongezewa muda
Eeeh passion ipo kingine akaniambia huwa wanafunga safari bank km bank leo tutakuwa bagamoyo..... Kesho tabata, kesho ukonga hivyoUyo kaipenda kazi yaani mpaka kaongezewa mwaka ana passion
Mkuu samahani,apa ugumu wake yeye katika kazi hii kwa mawazo Yake ni yapi kiujumla?Eeeh passion ipo kingine akaniambia huwa wanafunga safari bank km bank leo tutakuwa bagamoyo..... Kesho tabata, kesho ukonga hivyo
Tofaut na wale kama wa akiba kama unaishi manzese basi ndo utapangiwa location yako huko
shawishi mteja afungue akaunti .... Yep inakuwa hivyo..... Akikubali basi umeshaula wali mzuriiMkuu samahani,apa ugumu wake yeye katika kazi hii kwa mawazo Yake ni yapi kiujumla?
250,000/= per monthHabari zenu. Mimi nilikuwa nauliza malipo ya sales agents wa NBC yanakuaje kwa waliowahi kufanya hii kazi miaka ya nyuma