Wakuu serikali imetangaza ajira mpya kwa walimu katika mikoa mbalimbali!
Location sio tatizo,Nauli sio tatizo, ila je Mfanyakaz atafika kwenye kituo cha kazi na kukuta japo chumba cha kulala?!
Wakuu serikali imetangaza ajira mpya kwa walimu katika mikoa mbalimbali!
Location sio tatizo,Nauli sio tatizo, ila je Mfanyakaz atafika kwenye kituo cha kazi na kukuta japo chumba cha kulala?!
Kijana mshahara utaflow mda si mrefu.ondoa hofu pesa ya kupanga utapata ila kama umepangiwa chaka mbaya manake huko hata nyumba za kupanga choka mbaya.komaa!!this is africa,this is tanzania
Wakuu serikali imetangaza ajira mpya kwa walimu katika mikoa mbalimbali!
Location sio tatizo,Nauli sio tatizo, ila je Mfanyakaz atafika kwenye kituo cha kazi na kukuta japo chumba cha kulala?!
Wakuu serikali imetangaza ajira mpya kwa walimu katika mikoa mbalimbali!
Location sio tatizo,Nauli sio tatizo, ila je Mfanyakaz atafika kwenye kituo cha kazi na kukuta japo chumba cha kulala?!
mkuu andryndege314, unapopangiwa kituo na ofisi yako ni lazima au muhimu kujua malazi yakoje!,mbona hutumii akili kufikiri?
Kwenda kua mwalimu sio jeshini bro!,isitoshe mazingira yanatofautiana!