Makundi haya yameishia wapi?

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,397
Reaction score
17,784
Miaka ya 90 kulikua na makundi ya wanamziki haswa wa kimarekani yaliyokuwa yakitamba. Kwa sasa hayasikiki tena. Nini kimeyasibu makundi haya.? Kwa mfano Boyz ll men, Soul 4 real, KCI & JOJO, Black street boyz, 112, dru hill na hat wakongwe Naughty by nature! kwa upande wa wanadada walikuwapo TLC, Salt n paper,(SWV)sister with voice, Changing faces, nk Makundi haya yalitamba sana wasani waliokuwa wakiunda makundi haya kwa sasa wako wapi? Wanafanya sanaa bd?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…