Muhammad Ali baada ya pambano la Manila alisema angependa kuwa muslim preacher/minister baada ya kustaafu ngumi. Kama angeungana na mtu kama Farrakhan, kuna jamii ya watu wenye kuuchukia uislamu US wangekosa amani.
Kuna watu wanaamini ugonjwa aliopata ulisababishwa na ngumi alizopigwa kichwani miaka mingi, mimi naamini ugonjwa ule alisababishiwa na waovu waliojaa hofu kuhakikisha haifanyi kazi ya kuutangaza uislamu.