Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,043
na kweli, ukiwa na pesa wale wazuri wanajileta wenyewe tu, unafanya kuchaguaMwanamke mchawi wake pesa tu mengine mbwembwe
Usikumbushie ama kuuliza jibu la mtongozo!kama akikubali kutoka night dinner na wewe ama kwenda kucheki cinema night au anakubali kuja home kukutembelea hapo unataka jibu la nini!!?nyang'au! wewe
Watu wanaliwa pesa na papuchi hawapewi usikariri mamboMwanamke mchawi wake pesa tu mengine mbwembwe
Hahaaa,jirekebishe mkuuNyang'au tena??
Poa najirekebisha bro, nilikua sijui ila mimi sio nyang'au
ww tafuta hela ulimtongoza sekondari akikuona atakuuliza yy unanijua ? Maana maisha na mapenz ndo. Vitu pekee visivyokua na Fomular maalum.Haya ni makosa matatu tunayofanya sisi wanaume [sio wa kinondoni] pindi tunapomtongoza mwanamke!
Kosa la kwanza liepuke usimuulize mwanamke Kama yupo single ama ana mtu!kwani akikwambia ana mtu itakuwa imekukata ki dizaini flani!pia kuna wengine huwa wanakukataa kwa style hiyo!
Cha msingizi show care,show love,show as you're gentleman ataamua mwenyewe kama atakuwa single ama lah!
Usikumbushie ama kuuliza jibu la mtongozo!kama akikubali kutoka night dinner na wewe ama kwenda kucheki cinema night au anakubali kuja home kukutembelea hapo unataka jibu la nini!!?nyang'au! wewe
Kuomba mchezo(sex)!kuna wanawake hawapendi kuambiwa moja kwa moja njoo to do! Bali inabidi mwenyewe umtengenezee mazingira amazing akiingia imo!!
Team wanaume [sio wa kinondoni] tumeelewana Nadhani.
wala huwatafuti kabisana kweli, ukiwa na pesa wale wazuri wanajileta wenyewe tu, unafanya kuchagua