MAKAMBO ATOWEKA KAMBINI

saimon amos

Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
16
Reaction score
7
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Yanga Heritier Makambo ametoweka katika klabu hiyo bila uongozi kuwa na taarifa yeyote.

Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa Makambo ametoweka na mabegi yake katika hotel aliyokuwa akiishi bila taarifa rasmi huku simu yake ikiwa haipatikani hewani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa kakumbuka bolingo za kule kwao, ngoja akatoe hamu atarejea tu
 

Umejibu kwa panic, kunywa maji kwanza halafu urudi kutueleza vizuri.
 
no research no right to speak bwana mdg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…