Ndugu zangu,mimi ni muhandishi ninaechipukia wa makala za kijamii,kisiasa na kiuchumi..Nimetayarisha makala zangu ambazo nataka zisomwe na umma kupitia magazeti yetu hapa nchini..
Ombi langu......
1) Naomba kujuzwa ni namna gani naweza kupata nafasi ya kuchapiwa makala zangu gazetini.
2) Ni mchakato gani niufuate kuweza kupewa iyo nafasi ya makala zangu.
3) Ni vitu gani nizingatie ili kuandika makala bora inayoweza kuvutia wasomaji wengi.
4) Kuna maslahi yoyote ya kifedha nayoweza kuyapata endapo makala zangu zitapata nafasi gazetini?
5) Nakalibisha pia chochote unachoweza kunishauri kuhusu ili wazo.
Asanteni!!
cc Pasco Mzee Mwanakijiji Mohamedi Mtoi Yericko Nyerere Mtambuzi Mchambuzi Manyerere Jackton na wengineo wote.
Kwa maandishi mafupi namna hii umeshaharibu lugha mara 2 yaani
MUHANDISHI na NAKALIBISHA.
Sasa ukiandika makala yenye aya 50 si utatuulia kiswahili chetu?
Ndugu zangu,mimi ni muhandishi ninaechipukia wa makala za kijamii,kisiasa na kiuchumi..Nimetayarisha makala zangu ambazo nataka zisomwe na umma kupitia magazeti yetu hapa nchini..
Ombi langu......
1) Naomba kujuzwa ni namna gani naweza kupata nafasi ya kuchapiwa makala zangu gazetini.
2) Ni mchakato gani niufuate kuweza kupewa iyo nafasi ya makala zangu.
3) Ni vitu gani nizingatie ili kuandika makala bora inayoweza kuvutia wasomaji wengi.
4) Kuna maslahi yoyote ya kifedha nayoweza kuyapata endapo makala zangu zitapata nafasi gazetini?
5) Nakalibisha pia chochote unachoweza kunishauri kuhusu ili wazo.
Asanteni!!
cc Pasco Mzee Mwanakijiji Mohamedi Mtoi Yericko Nyerere Mtambuzi Mchambuzi Manyerere Jackton na wengineo wote.