Ndugu zangu,mimi ni muhandishi ninaechipukia wa makala za kijamii,kisiasa na kiuchumi..Nimetayarisha makala zangu ambazo nataka zisomwe na umma kupitia magazeti yetu hapa nchini..
Ombi langu......
1) Naomba kujuzwa ni namna gani naweza kupata nafasi ya kuchapiwa makala zangu gazetini.
2) Ni mchakato gani niufuate kuweza kupewa iyo nafasi ya makala zangu.
3) Ni vitu gani nizingatie ili kuandika makala bora inayoweza kuvutia wasomaji wengi.
4) Kuna maslahi yoyote ya kifedha nayoweza kuyapata endapo makala zangu zitapata nafasi gazetini?
5) Nakalibisha pia chochote unachoweza kunishauri kuhusu ili wazo.
Asanteni!!
cc Pasco Mzee Mwanakijiji Mohamedi Mtoi Yericko Nyerere Mtambuzi Mchambuzi Manyerere Jackton na wengineo wote.
Ombi langu......
1) Naomba kujuzwa ni namna gani naweza kupata nafasi ya kuchapiwa makala zangu gazetini.
2) Ni mchakato gani niufuate kuweza kupewa iyo nafasi ya makala zangu.
3) Ni vitu gani nizingatie ili kuandika makala bora inayoweza kuvutia wasomaji wengi.
4) Kuna maslahi yoyote ya kifedha nayoweza kuyapata endapo makala zangu zitapata nafasi gazetini?
5) Nakalibisha pia chochote unachoweza kunishauri kuhusu ili wazo.
Asanteni!!
cc Pasco Mzee Mwanakijiji Mohamedi Mtoi Yericko Nyerere Mtambuzi Mchambuzi Manyerere Jackton na wengineo wote.
Last edited by a moderator: