Kila eneo nyumbani kwako litakuwa na tiles tofauti na eneo litakuw na ukubwa tofauti.
Mfano chooni,jikoni,sebuleni,vyumbani.
Box la tiles huwa linapimwa kwa sqm.
Mfano chumba chako ni 4m*4m maana yake ni 16sqm. Na unataka kutumia tiles za 40cm*40cm. Hizi box moja huwa ni 1.92sqm.
16/1.92=8.3 hapo utatumia box 8 na kipande,itakubidi ununue box 9.
Tumia kanuni hii nyumba nzima.