MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 402
Mzee wangu anatibiwa katika hospital moja jina naomba nisilitaje kwa usalama wa mgonjwa.kapiga CT I.V.U Majibu Yakatoka Tukayapeleka Kwa Specialist Wa Matatizo Ya Figo.Huyu Akasema Kwenye Figo Hakuna Tatizo Ila Kwenye Ureta Ya Mkojo Kuna kauvimbe,akasema Tumuone Specialist Wa Vibofu Vya Mkojo.
Tukamuona Huyo Wa Vibofu,majibu Ya Mtaalam Wa Vibofu Kasema Figo Imekufa.Sasa Dr Wa Figo Yeye Kasema Figo Inafanya Kazi Na Akasema Tatizo Hl Halimhusu,akatuelekeza Kwa Daktari Wa Vibofu Na Mfumo Wa Ukojoaj,majibu Ya Huyu Kasema Figo Imekufa Na Iondolewe.
Na Wote Ni Madaktari Wapo Hosp Moja.Na Wote Ni Madaktar Bingwa,SASA NIFANYEJE? Ni Figo Imekufa Au Ni Uvimbe Wa Kwenye Ureta? Figo Yenyewe Imejaa Maji.Kwa Mujibu Wa Dk Wa Figo.
Naombeni Ushauri.
Tukamuona Huyo Wa Vibofu,majibu Ya Mtaalam Wa Vibofu Kasema Figo Imekufa.Sasa Dr Wa Figo Yeye Kasema Figo Inafanya Kazi Na Akasema Tatizo Hl Halimhusu,akatuelekeza Kwa Daktari Wa Vibofu Na Mfumo Wa Ukojoaj,majibu Ya Huyu Kasema Figo Imekufa Na Iondolewe.
Na Wote Ni Madaktari Wapo Hosp Moja.Na Wote Ni Madaktar Bingwa,SASA NIFANYEJE? Ni Figo Imekufa Au Ni Uvimbe Wa Kwenye Ureta? Figo Yenyewe Imejaa Maji.Kwa Mujibu Wa Dk Wa Figo.
Naombeni Ushauri.