Majanga yaliyonikuta kwa kutokunywa maji mengi, usiombe yakukute

Pole sana...jitaid uwe unakunywa maji after meals tena vizur yakawa vuguvugu ili kulainisha chakula vizuri kwan ya baridi kama umevyakula vya mafuta vinagandisha na matunda kwa wingi...hosp wangekupa vidonge Ducolax/bisacodly au ungefanyiwa enema
 
Nyamazaaaa,daah,yamenikuta babaa,inatisha,zege lahitaji maji mengi,jasho lilinitoka,sasa hivi maji nayanywa yakutosha
 
NASHUKURU SANA WADAU WOOOTE MLIONISHAURI, NITAZINGATIA USHAURI WOTE; PIA NATANGULIZA SAMAHANI KWA WOTE WALIOKWAZIKA; LAKINI USIOMBE YA KUKUTE; SIPATI PICHA YAANI NIKIWAZA HALI KAMA HII IKUKUTE HALAFU KUWE NA TETEMEKO LA QRDHI KAMA KULE BUKOBA, WAWEZA OMBA ARDHI IPASUKE AISEE!
 
pole sana..
lakini je:Mkeo ana utaalamu wowote wa mambo ya Afya?..Jiridhishe na wataalamu...
 
Pole sana mkuu,inabidi umwambie waifu ukufanyie ukaguzi eneo la tukio huenda kuna jeraha lililojificha.
Halafu hapo ukute kabla hapajapoa vizuri haja inakuja tena!!.
bora haja ije amogoe na kidole kuliko kale kapele mbuzi kama kameota alafu kakataka kukunwa na nyama!
 
 
jitahidi kunywa maji mengi, kula mapapa, maeme pia,
Jitahidi kunywa na maziwa mgando ikiwezekana,
Kwa kuanzia anza na dawa ya maji inaitwa Osmolaxis ikalainishe kopo hilo matakoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…