Nimeamka asubuhi nimekuta gesi imeisha umeme umekatika naenda buchani dahh muuzaji mbabe anabadilisha jiwe iliusijue mizani imeelemea upande nimeenda kwenye atm nakuta salio 25000 daaa ndo kwaaaaaanza tar 5 sijui ntamalizaje huu mwezi wandugu
Sasa huo ni uzembe wako mwenyewe, tarehe 5 umebakiwa na 25000, zote uliwapelekea makaburu kuvisha maji ya ilala.
Nimeamka asubuhi nimekuta gesi imeisha umeme umekatika naenda buchani dahh muuzaji mbabe anabadilisha jiwe iliusijue mizani imeelemea upande nimeenda kwenye atm nakuta salio 25000 daaa ndo kwaaaaaanza tar 5 sijui ntamalizaje huu mwezi wandugu
Sasa huo ni uzembe wako mwenyewe, tarehe 5 umebakiwa na 25000, zote uliwapelekea makaburu kuvisha maji ya ilala.
Nawashuku wote walionipa mawazo ya busara na wale walioni tukana pia nijua ni namna gani watu wamekua na uwezo mdogo wa kutafakari jambo