Mungu tu asimame mwenyewe nisijeingia huko, home ata pawe na kitu cha maana namna gani sijawahi kupainjoy mchana,fikiria tu Nina zaidi ya miaka 18 sijawahi kushinda nyumbani nikiwa mzima wa afya..
Ila nikiendaga jioni naona nipo sehemu salama na sahihi kabisa ila nikichelewa sana kuamka asubuhi nisivuke saa 3 aisee,nikipitiwa hua naumia sana raha yangu siku zote ni kulishuhudia jua linavyochomoza kwa macho yangu huku nikiwa Sina nilichosahau nyumbani