Mjusi Sharobalo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2025
- 7,442
- 12,711
Fayaaa 🔥. Kwa damu ya yesu nakemea.Mjusi unakaribia kudanja nini,mbona tafakuri nyingi Sana🤓🤓🤓🤓(just a joke)
Nakataje moto! Wakati hata bado sijapata mtoto mzuri wa kunikumbatia kunipatia joto.Mjusi unakaribia kudanja nini,mbona tafakuri nyingi Sana (just a joke)
Utalaaniwa vibaya na walokole we kenge!Fayaaa 🔥. Kwa damu yasu nakemea.
Ushaandaliwa mabikira 72,achana na hawa waliotolewa sealed!Nakataje moto! Wakati hata bado sijapata mtoto mzuri wa kunikumbatia kunipatia joto.
Nakazia. Hawasafirishi mtu mapema ndani kabati kiasi hichi.Fayaaa. Kwa damu yasu nakemea.
Mi mwenyewe mlokole, hivyo wenye imani haba kama punje ya haradali hawataniweza.Utalaaniwa vibaya na walokole we kenge!
Sema huko kunamito mingi ya togwa, najijua mwenyewe nitazidiwa hata hao bikira wakanishinda kufwaidi.Ushaandaliwa mabikira 72,achana na hawa waliotolewa sealed!
💪🔥Nakazia. Hawasafirishi mtu mapema ndani kabati kiasi hichi.
Kuna mwingine photo copy ya mtumba!Mjusi ni mmoja tu ndani ya tafakari.
Muanze kulipia sasa au mnataka nidondoke juu ya ukuta kwa njaa.unajitahidi kuleta mada zenye utofaut
Endelea mjusi si wengine wanufaika
Usiwaze kuna level ukiifikia kidogo tu kulipa itakuwa lazma kwetuMuanze kulipia sasa au mnataka nidondoke juu ya ukuta kwa njaa.
Kule hata ukilewa fahamu haziondoki,ndo kwanza inakuwa kama umepaka mkongo,ni kugida funda zako kadhaa unaendelea kuzagamua!Sema huko kunamito mingi ya togwa, najijua mwenyewe nitazidiwa hata hao bikira wakanishinda kufwaidi.
Pamoja acha tuendelee kuusasambua mfupa.Usiwaze kuna level ukiifikia kidogo tu kulipa itakuwa lazma kwetu
Shusha nondo
KambaAngalia miti, angalia ndege, angalia mawingu, angalia vyote na kama unamacho ya kuona, utaona jinsi maisha yetu ni kitu kimoja. Asili haifanyi haraka, lakini kila kitu kinakamilika. Maua hayafikilii kushindana na ua lilo kando yake. Yanachanua. Ishi kwa misimu.
Kunawakati wa kupanda, wakati wa kuvuna, na wakati wa kupumzika. Heshimu mzunguko wa maisha yako... Mjusi na tafakari.
Alaa! Kumbe huku dunian ni mateso tupu, acha niachilie ukuta tu niangunge nibamize bichwa nisepe zangu niwahi mbususu!Kule hata ukilewa fahamu haziondoki,ndo kwanza inakuwa kama umepaka mkongo,ni kugida funda zako kadhaa unaendelea kuzagamua!