Maisha na asili

Mjusi Sharobalo

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2025
Posts
7,442
Reaction score
12,711
Angalia miti, angalia ndege, angalia mawingu, angalia vyote na kama unamacho ya kuona, utaona jinsi maisha yetu ni kitu kimoja. Asili haifanyi haraka, lakini kila kitu kinakamilika. Maua hayafikilii kushindana na ua lilo kando yake. Yanachanua. Ishi kwa misimu.

Kunawakati wa kupanda, wakati wa kuvuna, na wakati wa kupumzika. Heshimu mzunguko wa maisha yako... Mjusi na tafakari.
 
Kamba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…