Mdau hongera Sana kwa kuwa inamzigo wakutosha na WA kukukomboa kimaisha Hasa ktk ujasiriliamali..mdau masoko yapo we check na NA majamaa wanaonunua mahindi ukikaa ktk system Yao mbona hata tender ya FAO,WFP utazipata bila ya kutoa jasho.humu zengwe kibao kaka we komaa bila kukata tamaa utapata link ya mteja.all da bst.