Habari zenu wakuu, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu
Mwenye nayo/kujua yalipo kwa sasa /yanako patikana tafadhali sogea PM tufanye biashara
NB: Nilipewa taarifa ya kwamba naweza pata mzigo Ludewa au Kigoma sema uswahili umekua mwingi mno