Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,587
- 28,749
MAGU anatisha.... MKWALA aliotinga nao MONDULI katika sare za jeshi -- LUWASSA HOI.....halafu akikumbuka ILE MIPUSHAPU na MAJITA ya wakati wa kampeni anakonda ghafla..... Ni Mchaka mchaka mpaka 2020!WAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa, kwa mara nyingine tena amekwepa kukutana ana kwa ana na Rais Dk. John Magufuli.
Tukio hilo linatokea ikiwa ni mara ya pili tangu ulipomalizika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka jana.
Kwa mara ya kwanza, Lowassa ambaye ni kada wa zamani wa CCM, alikwepa kuonana na Rais Magufuli katika ibada ya Sikukuu ya Pasaka iliyofanyika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Azania Front, Machi 27, mwaka huu.
Hali hiyo ni kinyume cha matarajio ya watu wengi ambao walisubiri kwa hamu kuwaona mafahari hao wawili wa kisiasa wakikutana kwa mara ya kwanza tangu ulipomalizika mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM mjini Dodoma.
Jana, wakati watu wakitarajia tena kuwaona wakikutana kwenye shughuli ya kuaga mwili wa marehemu Christina Lissu, aliyekuwa mbunge wa Chadema katika Bunge la 10, Lowassa hakuhudhuria na kumwacha Rais Magufuli akiwaongoza waombelezaji kuaga mwili huo.
Shughuli hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam ambapo mbali na Rais Magufuli, viongozi wengine waliohudhuria ni pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Akson pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene.
Msafara wa Rais Magufuli uliwasili katika viwanja vya Karimjee saa 7:30 mchana na kupokewa na viongozi mbalimbali wa Chadema waliokuwa wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
MTANZANIA ilipomtafuta msaidizi wa Lowassa, Abubakary Liongo kwa simu yake ya kiganjani, hakupatikana hadi tunakwenda mitamboni.
Source: Mtanzania
Lowasa ana busara na akili sana.
Huyu jamaa ni mstaarabu wa kweli na anapenda watu kweli.
Kwanza anatambua kuwa endapo atakaa sehemu moja na Magufuli ambaye ndiye rais kwa sasa basi anaweza akawapotezea watu nafasi zao za lazi.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba watanzania wengi hata ndani ya serikali wana mahaba na mapenzi makubwa kwa Lowasa hivyo watajionyisha dhahiri kwa kumkimbilia Lowasa na kila mtu kutaka kusalimiana naye jambo litakalo mshushia Mkuu wa nchi heshma. Hata wasaidizi wa Magufuli watapata wakati mgumu wa kushindwa kuacha kumkimbila Lowasa jambo litakalo wafanya wengine kupatoza nafasi zao warakapo rejea ofisini.
Ikumukwe kuwa kundi kubwa lililomuunga mkono Magufuli ni lile lile kundi la Lowasa ndani ya CCM.
Hivyo ni kweli kabisa kuwa Lowasa bado ana kundi kubwa sana ndani ya taifa hili.
Tunaweza tu kujikumbusha yaliyitokea kule Dodoma kwa Rais Kikwete kuzomewa baada ya kukata jina la Lowasa . Hali ile iliwapandisha hasira makada waandamizi ndani ya CCM na kusema hadharani kuwa Kikwete ni mpole sana ingekua ni nchi nyingine Lowasa angepotezwa. Sijajua maana halisi ya kupotezwa ! Ni kupotezwa njia au nini?
Hiyo ndiyo CCM inayoimba sisi wote ni ndugu lakini ndani kuna makada yanatamani kumwona Rais akiwaangamiza wapinzani wake kwa kuwapoteza duniani.
Lowasa ana hekima za ajabu.
Naamini pia kutokana na uchamungu wa Mh.Magufuli naye pia ana shauku ya kukutana na mzee Lowasa na kusalimiana kwani yeye binafsi hana chuki na Lowasa na ameshaingia Ikulu na kuona kila mkataba na kugundua kuwa mengi yaliyovumishwa juu ya Lowasa ni uzushi. Lakini hata kwa Magufuli endapo atakutana na Lowasa na kusalimiana kwa sura za amanai na upendo basi itaweza kuwakatisha tamaa wale makada wote wa CCM wanaotamani kumwona Magufuli akiwaonea wapinzani na kupambana nao hata kama hawana hatia yoyote .
Pia kwa sasa Lowasa haamini tena marafiki wa kisiasa. Alikwisha kuumwa na nyoka na sasa akiona jani anakimbia.
Akukumbuka alichofanyiwa na rafiki yake enzi za BOYS II MEN. [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Umeandika kwa mahaba yako binafsi na lowasa hongeraLowasa ana busara na akili sana.
Huyu jamaa ni mstaarabu wa kweli na anapenda watu kweli.
Kwanza anatambua kuwa endapo atakaa sehemu moja na Magufuli ambaye ndiye rais kwa sasa basi anaweza akawapotezea watu nafasi zao za lazi.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba watanzania wengi hata ndani ya serikali wana mahaba na mapenzi makubwa kwa Lowasa hivyo watajionyisha dhahiri kwa kumkimbilia Lowasa na kila mtu kutaka kusalimiana naye jambo litakalo mshushia Mkuu wa nchi heshma. Hata wasaidizi wa Magufuli watapata wakati mgumu wa kushindwa kuacha kumkimbila Lowasa jambo litakalo wafanya wengine kupatoza nafasi zao warakapo rejea ofisini.
Ikumukwe kuwa kundi kubwa lililomuunga mkono Magufuli ni lile lile kundi la Lowasa ndani ya CCM.
Hivyo ni kweli kabisa kuwa Lowasa bado ana kundi kubwa sana ndani ya taifa hili.
Tunaweza tu kujikumbusha yaliyotokea kule Dodoma kwa Rais Kikwete kuzomewa baada ya kukata jina la Lowasa huku mamia wa wajumbe wa CCM wakimshingilia Lowasa na kuimba kuwa wana imani naye. Hali ile iliwapandisha hasira makada wachache waandamizi na wenye nguvu kubwa ndani ya CCM kama Mzee Butiku na kusema hadharani kuwa Kikwete ni mpole sana ingekua ni nchi nyingine Lowasa angepotezwa. Sijajua maana halisi ya kupotezwa ! Ni kupotezwa njia au nini?
Hiyo ndiyo CCM inayoimba sisi wote ni ndugu lakini ndani kuna makada yanayotamani kumwona Rais akiwaangamiza wapinzani wake kwa kuwapoteza duniani.
Lowasa ana hekima za ajabu.
Naamini pia kutokana na ucha Mungu wa Mh.Magufuli naye pia ana shauku ya kukutana na mzee Lowasa na kusalimiana kwani yeye binafsi hana chuki na Lowasa na ameshaingia Ikulu na kuona kila mkataba na kugundua kuwa mengi yaliyovumishwa juu ya Lowasa ni uzushi.
Lakini poa hata kwa Magufuli endapo atakutana na Lowasa na kusalimiana kwa sura za amani na upendo basi itaweza kuwakatisha tamaa wale makada wote wa CCM wanaotamani kumwona Magufuli akiwaonea wapinzani na kupambana nao hata kama hawana hatia yoyote .
Pia kwa sasa Lowasa haamini tena marafiki wa kisiasa. Alikwisha kuumwa na nyoka na sasa akiona jani anakimbia.
Bado anakumbuka alichofanyiwa na rafiki yake enzi za BOYS II MEN.
WAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa, kwa mara nyingine tena amekwepa kukutana ana kwa ana na Rais Dk. John Magufuli.
Tukio hilo linatokea ikiwa ni mara ya pili tangu ulipomalizika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka jana.
Kwa mara ya kwanza, Lowassa ambaye ni kada wa zamani wa CCM, alikwepa kuonana na Rais Magufuli katika ibada ya Sikukuu ya Pasaka iliyofanyika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Azania Front, Machi 27, mwaka huu.
Hali hiyo ni kinyume cha matarajio ya watu wengi ambao walisubiri kwa hamu kuwaona mafahari hao wawili wa kisiasa wakikutana kwa mara ya kwanza tangu ulipomalizika mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM mjini Dodoma.
Jana, wakati watu wakitarajia tena kuwaona wakikutana kwenye shughuli ya kuaga mwili wa marehemu Christina Lissu, aliyekuwa mbunge wa Chadema katika Bunge la 10, Lowassa hakuhudhuria na kumwacha Rais Magufuli akiwaongoza waombelezaji kuaga mwili huo.
Shughuli hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam ambapo mbali na Rais Magufuli, viongozi wengine waliohudhuria ni pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Akson pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene.
Msafara wa Rais Magufuli uliwasili katika viwanja vya Karimjee saa 7:30 mchana na kupokewa na viongozi mbalimbali wa Chadema waliokuwa wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
MTANZANIA ilipomtafuta msaidizi wa Lowassa, Abubakary Liongo kwa simu yake ya kiganjani, hakupatikana hadi tunakwenda mitamboni.
Chanzo: Mtanzania
Akili za kipuuzi kabisa hizi.hivi ni lazima lowassa ashiriki kuaga mwili wa marehemu christina?mbona walikuwepo wawakilishi wengi tu wa CHADEMA?Anaogopa kutumbuliwa, lazima amkwepe magu
Hekima za kutengeneza misukule?Lowasa ana busara na akili sana.
Huyu jamaa ni mstaarabu wa kweli na anapenda watu kweli.
Kwanza anatambua kuwa endapo atakaa sehemu moja na Magufuli ambaye ndiye rais kwa sasa basi anaweza akawapotezea watu nafasi zao za lazi.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba watanzania wengi hata ndani ya serikali wana mahaba na mapenzi makubwa kwa Lowasa hivyo watajionyisha dhahiri kwa kumkimbilia Lowasa na kila mtu kutaka kusalimiana naye jambo litakalo mshushia Mkuu wa nchi heshma. Hata wasaidizi wa Magufuli watapata wakati mgumu wa kushindwa kuacha kumkimbila Lowasa jambo litakalo wafanya wengine kupatoza nafasi zao warakapo rejea ofisini.
Ikumukwe kuwa kundi kubwa lililomuunga mkono Magufuli ni lile lile kundi la Lowasa ndani ya CCM.
Hivyo ni kweli kabisa kuwa Lowasa bado ana kundi kubwa sana ndani ya taifa hili.
Tunaweza tu kujikumbusha yaliyotokea kule Dodoma kwa Rais Kikwete kuzomewa baada ya kukata jina la Lowasa huku mamia wa wajumbe wa CCM wakimshingilia Lowasa na kuimba kuwa wana imani naye. Hali ile iliwapandisha hasira makada wachache waandamizi na wenye nguvu kubwa ndani ya CCM kama Mzee Butiku na kusema hadharani kuwa Kikwete ni mpole sana ingekua ni nchi nyingine Lowasa angepotezwa. Sijajua maana halisi ya kupotezwa ! Ni kupotezwa njia au nini?
Hiyo ndiyo CCM inayoimba sisi wote ni ndugu lakini ndani kuna makada yanayotamani kumwona Rais akiwaangamiza wapinzani wake kwa kuwapoteza duniani.
Lowasa ana hekima za ajabu.
Naamini pia kutokana na ucha Mungu wa Mh.Magufuli naye pia ana shauku ya kukutana na mzee Lowasa na kusalimiana kwani yeye binafsi hana chuki na Lowasa na ameshaingia Ikulu na kuona kila mkataba na kugundua kuwa mengi yaliyovumishwa juu ya Lowasa ni uzushi.
Lakini poa hata kwa Magufuli endapo atakutana na Lowasa na kusalimiana kwa sura za amani na upendo basi itaweza kuwakatisha tamaa wale makada wote wa CCM wanaotamani kumwona Magufuli akiwaonea wapinzani na kupambana nao hata kama hawana hatia yoyote .
Pia kwa sasa Lowasa haamini tena marafiki wa kisiasa. Alikwisha kuumwa na nyoka na sasa akiona jani anakimbia.
Bado anakumbuka alichofanyiwa na rafiki yake enzi za BOYS II MEN.
Akili za kipumbavu hizi..!MAGU anatisha.... MKWALA aliotinga nao MONDULI katika sare za jeshi -- LUWASSA HOI.....halafu akikumbuka ILE MIPUSHAPU na MAJITA ya wakati wa kampeni anakonda ghafla..... Ni Mchaka mchaka mpaka 2020!
Lowasa ana busara na akili sana.
Huyu jamaa ni mstaarabu wa kweli na anapenda watu kweli.
Kwanza anatambua kuwa endapo atakaa sehemu moja na Magufuli ambaye ndiye rais kwa sasa basi anaweza akawapotezea watu nafasi zao za lazi.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba watanzania wengi hata ndani ya serikali wana mahaba na mapenzi makubwa kwa Lowasa hivyo watajionyisha dhahiri kwa kumkimbilia Lowasa na kila mtu kutaka kusalimiana naye jambo litakalo mshushia Mkuu wa nchi heshma. Hata wasaidizi wa Magufuli watapata wakati mgumu wa kushindwa kuacha kumkimbila Lowasa jambo litakalo wafanya wengine kupatoza nafasi zao warakapo rejea ofisini.
Ikumukwe kuwa kundi kubwa lililomuunga mkono Magufuli ni lile lile kundi la Lowasa ndani ya CCM.
Hivyo ni kweli kabisa kuwa Lowasa bado ana kundi kubwa sana ndani ya taifa hili.
Tunaweza tu kujikumbusha yaliyotokea kule Dodoma kwa Rais Kikwete kuzomewa baada ya kukata jina la Lowasa huku mamia wa wajumbe wa CCM wakimshingilia Lowasa na kuimba kuwa wana imani naye. Hali ile iliwapandisha hasira makada wachache waandamizi na wenye nguvu kubwa ndani ya CCM kama Mzee Butiku na kusema hadharani kuwa Kikwete ni mpole sana ingekua ni nchi nyingine Lowasa angepotezwa. Sijajua maana halisi ya kupotezwa ! Ni kupotezwa njia au nini?
Hiyo ndiyo CCM inayoimba sisi wote ni ndugu lakini ndani kuna makada yanayotamani kumwona Rais akiwaangamiza wapinzani wake kwa kuwapoteza duniani.
Lowasa ana hekima za ajabu.
Naamini pia kutokana na ucha Mungu wa Mh.Magufuli naye pia ana shauku ya kukutana na mzee Lowasa na kusalimiana kwani yeye binafsi hana chuki na Lowasa na ameshaingia Ikulu na kuona kila mkataba na kugundua kuwa mengi yaliyovumishwa juu ya Lowasa ni uzushi.
Lakini poa hata kwa Magufuli endapo atakutana na Lowasa na kusalimiana kwa sura za amani na upendo basi itaweza kuwakatisha tamaa wale makada wote wa CCM wanaotamani kumwona Magufuli akiwaonea wapinzani na kupambana nao hata kama hawana hatia yoyote .
Pia kwa sasa Lowasa haamini tena marafiki wa kisiasa. Alikwisha kuumwa na nyoka na sasa akiona jani anakimbia.
Bado anakumbuka alichofanyiwa na rafiki yake enzi za BOYS II MEN.
BAVICHA aka WAKIWA chaliiii ..... POVU KIBAO MDOMONI!Akili za kipumbavu hizi..!