Inawezekana tu kama hakuna change of use,nguzo na foundation zilikuwa designed kubeba floor zaidi. Taarifa hizi utazipata kwenye designed information. Kama hakuna designed information, laboratory test inatakiwa kufanywa
Duh! Hakika Tza kuna maajabu yaliyozidi ya Musa, kila kitu bora liende, kukiwa na tukio tume zinaaundwa kupewa wale wale wanaojua kuzitafuna pesa za walipa kodi!
Duh! Hakika Tza kuna maajabu yaliyozidi ya Musa, kila kitu bora liende, kukiwa na tukio tume zinaaundwa kupewa wale wale wanaojua kuzitafuna pesa za walipa kodi!