foleni dawa yake ni ndogo sana kuzuia ujenzi wa majengo makubwa maeneo ya kkoo na posta,,kupaacha pale kkoo na posta pawe old Dar...kuhamisha serikali yoote iwe maeneo ya kuanzia kibaha kwenda chalinze na kujenga jiji jipya hapo lenye mabarabara mapana gari 5 zinaenda 5 zinakuja hutaona foleni...