Barabara ya Morogoro imefungwa baada ya maji mengi kupita juu ya daraja maeneo Doma karibu geti la mbuga ya Mikumi. mpaka sasa kuna msongamano wa magari mengi sana.
Barabara ya Morogoro imefungwa baada ya maji mengi kupita juu ya daraja maeneo Doma karibu geti la mbuga ya Mikumi. mpaka sasa kuna msongamano wa magari mengi sana.