MAFUNDI VISIMA WANAPATIKANA

Jahlex

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
512
Reaction score
604
Habari,
Kwa wale wote wanaohitaji visima vya kuchimba kwa mkono(hand_dug wells) kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji au matumizi ya nyumbani kwa bei nafuu sana tunapatikana Dar es Salaam na Pwani.
Bei zetu ni kati ya 400,000-1mil. inategemea na urefu.
Kwa maelezo wasiliana nasi kwa:0655185973 au nipm.
 
Je hiyo bei ni pamoja na gharama za ujenzi au ni malipo ya ufundi?
 
Nilimaanisha, kokoto mchanga cement etc
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…