Kwanza hili neno mafanikio ni dhana pana sana.
Watu wanapenda kulifanyia Hasty generalization.
Kitu unachodhani wewe kwako ni mafanikio makubwa sana, Kwa mwingine ni kitu kidogo sana.
Mfano kwa waafrika wengi hasa watanzania mtu akishajenga nyumba akanunua gari, akapeleka watoto wake English mediums. Basi anaona hayo ndio mafanikio.
Kumbe kwa wengine tunamuona bado maskini tu, Hana mafanikio yeyote.