lovenessy joshua
Member
- Jan 6, 2018
- 29
- 5
Nilichoma sindano mwezi Wa 9 mwaka Jana ikatakiwa kuisha mwez wa11 katikati ya mwez uo nilitakiwa niingie period but mpaka mwaka huu January sijaona ata tone la damu.nilivoona ivo nikaend kwa dokta akaniambia kuna homoni zang ziko juu kwaio kuna dawa natakiwa nitumie nimejaribu vile vidonge va uzazi va rangi nyekundu maan zile huleta hedhi ila mpaka Leo sijaona nisaidieni