Infopaedia JF-Expert Member Joined Oct 28, 2011 Posts 1,231 Reaction score 1,496 Oct 3, 2015 #1 Mercury nyeupe inapatika , kilo moja ni Tsh 500,000. Nipo Mwanza. Kwa mawasiliano zaidi tuonane inbox.
Mercury nyeupe inapatika , kilo moja ni Tsh 500,000. Nipo Mwanza. Kwa mawasiliano zaidi tuonane inbox.
USSR JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 12,006 Reaction score 28,345 Oct 3, 2015 #2 inatumika je hapa tz kutengenezea nini
Infopaedia JF-Expert Member Joined Oct 28, 2011 Posts 1,231 Reaction score 1,496 Oct 3, 2015 Thread starter #3 USSR said: inatumika je hapa tz kutengenezea nini Click to expand... Kwa kiasi kikubwa hutumiwa na wachimba madini ya dhahabu kwenye mchakato wa kutenganisha thahabu na kifusi.
USSR said: inatumika je hapa tz kutengenezea nini Click to expand... Kwa kiasi kikubwa hutumiwa na wachimba madini ya dhahabu kwenye mchakato wa kutenganisha thahabu na kifusi.
King Kong III Platinum Member Joined Oct 15, 2010 Posts 62,806 Reaction score 94,909 Oct 4, 2015 #4 Infopaedia said: Kwa kiasi kikubwa hutumiwa na wachimba madini ya dhahabu kwenye mchakato wa kutenganisha thahabu na kifusi. Click to expand... Hivi wizi wa design hii bado upo?
Infopaedia said: Kwa kiasi kikubwa hutumiwa na wachimba madini ya dhahabu kwenye mchakato wa kutenganisha thahabu na kifusi. Click to expand... Hivi wizi wa design hii bado upo?
steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 11,502 Reaction score 13,706 Oct 4, 2015 #5 King Kong III said: Hivi wizi wa design hii bado upo? Click to expand... Mkuu,hawaishagi hawa watu,halafu tokea lini kilo moja ya mercury ikawa na thamani ndogo kiasi hicho??
King Kong III said: Hivi wizi wa design hii bado upo? Click to expand... Mkuu,hawaishagi hawa watu,halafu tokea lini kilo moja ya mercury ikawa na thamani ndogo kiasi hicho??