Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,391
- 1,911
Hebu tuwekee kisa hapa mkuu, ilikuwaje mpk ukafikia hatua ya kumeza, na vipi umeshapima HIV hivi karibuni kutazama km dawa hizo zilikusaidiaje?Niliwahi meza pep asee nilijihisi kufakufa. zile dawa ni very strong, usiku unaota ndoto mbaya. mchana unapoteza kumbukumbu, kiufupi sio advisable kutumia sababu pia zinaweka athari kwenye maini. utaambiwa urudi kupima utendaji kazi wa ini baada ya siku 15 kutumia dozi
Sikumalizaga dozi kwakweli.
Kila la kheri mdau.
PEP pia inategeme huyo mpenzi wako alikua anatumia dawa akiwa katika mstari gani wa dawa kama ni mstari wa kwanza "first line" mstari wa pili"second line"... Kwaio kama akiwa mstari wa kwanza utatumia pep ya mstari wa kwanza kama atakua mstari wa pili utatumia pep ya mstari wa pili ila yote kwa yote Tanzania pep ni Mstari wa kwanza hatujarishi mhisiwa alikua katika mstari gani wa dawa....kwaio ni Mwendo wa TLE au TLD...ila ukimwi kuupata nao kazi siku maana kama mpenzi wako anatumia dawa vizuri na viral suppression ikawa vizuri hadi majibu yakasoma Target not Detected huyo hata uende kavu kavu hupati maambukizi
Mkuu hata sikunyonya wala hata sikuchubuka coz uke ulikuwa na majimaji ya kutosha, pia kuhusu kupima, pia kuhusu kupima Doctor niliyemkuta alisema kwa vipimo vingi vinavyotumika hapa bongo ni vya mwezi mmoja baada ya kuwa kwenye risk ndoo vinasoma kama upo infected au la,Mpira ulivyopasuka ulipata mchubuko mkuu?
Kama laa possibility ya kupata maambukizi ni 20% utaniambia siku ukifika kwa wale washauri kule kitengo
Wanakuambia achana na hii kitu
Ila next time kuwa makini usipende kufakamia hovyo.
Ungemwambia before ndipo mpime sasa baada halafu ukute umemnyonya....si itakuwa hatari!
Nambie mkuu ilikuwajNilimeza mwezi mzima ni experience mbaya sana Kwangu
Kabisa mkuu hii kitu omba aiseemzee baba heka heka yote hii sababu ya starehe ya dk 10 na mpta njia... i hope you have learned your lessson
Mkuu tupe mkasa wako,, na vipi urirud kupima iniNiliwahi meza pep asee nilijihisi kufakufa. zile dawa ni very strong, usiku unaota ndoto mbaya. mchana unapoteza kumbukumbu, kiufupi sio advisable kutumia sababu pia zinaweka athari kwenye maini. utaambiwa urudi kupima utendaji kazi wa ini baada ya siku 15 kutumia dozi
Sikumalizaga dozi kwakweli.
Kila la kheri mdau.
Mkuu pole sana lakini muogope Muumba wako fanya uoe kabisa mkuuMkuu hata sikunyonya wala hata sikuchubuka coz uke ulikuwa na majimaji ya kutosha, pia kuhusu kupima, pia kuhusu kupima Doctor niliyemkuta alisema kwa vipimo vingi vinavyotumika hapa bongo ni vya mwezi mmoja baada ya kuwa kwenye risk ndoo vinasoma kama upo infected au la,
NB.... saiz dozi nshaizoea nimemaliza week1
ndoto mbaya,kukosa usingizi, kizunguzungu, kichefuchefu na mood mbaya kwa ujumla duuuh nilikua nikiviona nadataNambie mkuu ilikuwaj
Kabisa mkuu nkimaliza nkawa nipo frsh hakika sitarudiaMkuu pole sana lakini muogope Muumba wako fanya uoe kabisa mkuu
Hii ya kula kula njiani ina cost sana
Ok ,,, mwenyew saiz hizi dalili ndoo nazokutana nazo japo nshaanza kuzizoeandoto mbaya,kukosa usingizi, kizunguzungu, kichefuchefu na mood mbaya kwa ujumla duuuh nilikua nikiviona nadata
Vp kiongozTLE sio poa..efaverenz sio mchezo. Usiku unaota unakimbizwa na mazombi
.
Mdau vpUnapoteza muda..meza haraka
Shwari mkuuVp kiongoz
Nipe namba yako nikuchek kuna ishu nataka nikuulizieShwari mkuu
Vip kk, mm nimgeni humu jamii frm..Majuz nmetembea na demu wangu ambaye nna muda cjakutana naye, sasa wakat wa kusex kwa bahat mbaya kondom ikapasuka nkamwambia tukapime akasema anawahi anasafiri nkamshawishi akakataa kabisa akasema anawahi kwenda Moro,, sasa mm nkawa na mashaka naye ikabidi niwasiliana na Dr kwenye hosp moja iv akasema kwa vile kakataa kuja kupima inabidi tukuanzishie PEP ili kama kuna maambukizi yoyote yasikupate,, nkasema ok wakanipima kwanza kama nina maambukizi nkawa nipo frsh, then nkapewa dawa hizo za PEP sema nlisahau kuuliza madhara yake. Naomben kujua madhara ya PEP coz majuz nmepewa sasa naona kama mwili unachange