H HERBERTH Member Joined Jun 4, 2013 Posts 16 Reaction score 2 Sep 1, 2013 #1 Imesemekana na kuthibitika kuwa, kwa sasa wananch wengi wanapokaribishwa ktk mkutano au semina ya kujadili mambo ya maendleo, huachakufikilia lile linalozungumzwa na badala yake huanza kufikilia juu ya posho.
Imesemekana na kuthibitika kuwa, kwa sasa wananch wengi wanapokaribishwa ktk mkutano au semina ya kujadili mambo ya maendleo, huachakufikilia lile linalozungumzwa na badala yake huanza kufikilia juu ya posho.
A acacia Member Joined Mar 23, 2013 Posts 45 Reaction score 6 Sep 1, 2013 #2 Kweli. Kila mtu sio wananchi tu hata viongozi