Ha!ha!ha! nkweli! huko asa ndiko nkusudia miye yakhe! twasubiri koti la tanganyika livuliwe ,lichanwe au liraruliwe nkisha kiremba cha pemba kitupwe halafu chupi ya n'jini magaribi, sidirii ya kaskazi,gagulo ya kusini mpaka kila n'zanzibari awe na 'nchi yake'.