Ndio alikufa na majuzi alionekana akicheza mpira,uzuri si unajua tena bongo tuna ma ventilators ya kutosha kila dispensary/hospital na health system yetu ni bora kuliko ya UK.
Achana na manamba mkuu angalia watu wanaokufa kwa corona hapo mtaani kwenu au unawafahamu ni wangapi utakuta hakuna rais jana kasema namba ya wagonjwa imepungua na takwimu katoa ila hutaki kuamini shida unategemea tufe milioni ndio ufurai