Macbook Pro Retina for sale

Macbook Pro Retina for sale

Max kissey

Member
Joined
Jan 28, 2016
Posts
81
Reaction score
63
Nauza macbook pro retina
Version:2015
Size :13”
Ram:8GB
Processor:2.4GHz core i 5
Storage :128GB

In a good condition
Price 1.8M
Mobile:0788126474

IMG_0935.JPG

IMG_0936.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmependa hill cover lake jekundu, unaliuzaje?
 
Nipo na mac book pro 13', natafuta kioo chake, ilianguka kioo cha nje kimetengeneza cracks hatari, kioo cha ndani kipo salama. Kwa anayejua napataje hiyo bidhaa?
 
Nipo na mac book pro 13', natafuta kioo chake, ilianguka kioo cha nje kimetengeneza cracks hatari, kioo cha ndani kipo salama. Kwa anayejua napataje hiyo bidhaa?

Peleka apple store yoyote then technical departmnt yake inaweza ikakuagizia nje.
 
Pamoja..and kama uko dzm nenda m city apple store watakudirect and kama upo Arusha nenda sound and vision wanatechncal department apo..so far hivyo ndo nnavyojua.
Nipo Arusha mkuu, sound and vision hawakuwa na hiyo outer glass lakini sikuulizia option ya wao kuniagizia nje itabidi Nirudi tena, nadhani kuna umuhimu wa watu tukajifunza online shopping.
 
Nipo Arusha mkuu, sound and vision hawakuwa na hiyo outer glass lakini sikuulizia option ya wao kuniagizia nje itabidi Nirudi tena, nadhani kuna umuhimu wa watu tukajifunza online shopping.

Yeah sana
 
And infact personally nnaposema uniPM in public najaribu kucheck useriousness uliopo..kama kweli mtu yuko serious then lazima atakuPM as the slogan “mteja mfalme”
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom