Macbook ya 2015 ina maana ina dual core, haina issue ni sawa na hizi laptop za laki 4 mtaani ufanisi wake. Unless unaipata bei rahisi achana nayo.
Angalau gen ya 8 kupanda utapata perfomance nzuri, 2018 kuendelea. Na kama budget inaruhusu zenye M series Cpu ni nzuri zaidi.