johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,757
- 143,209
Ni noma!Aise kumbe leo watu tutapiga ngondi
Ova
La kuendea Bagamoyo ππππ₯πΌNjoo nikuuzie gari
Ndio tunakoelekeaAseeee baga iwe sehemu dar waweke dala dala...period
Taarifa zimfikie mbunge wa Kawe Askofu Dr Gwajima popote alipo kwa sababu inaelezwa Mabasi hayataki kuhamishiwa Bunju Sokoni ambako Nauli ya Dar - Bagamoyo itapungua kutoka tsh 1800 hadi tsh 1300
Leo wale Wananchi Pangu pakavu tia mchuzi chamoto wanakipata
Mabasi ya route ya Mbezi - Bagamoyo hayajagoma
Niko ndani ya Bajaj, kumbe Inawezekana
Taarifa zimfikie mbunge wa Kawe Askofu Dr Gwajima popote alipo kwa sababu inaelezwa Mabasi hayataki kuhamishiwa Bunju Sokoni ambako Nauli ya Dar - Bagamoyo itapungua kutoka tsh 1800 hadi tsh 1300
Leo wale Wananchi Pangu pakavu tia mchuzi chamoto wanakipata
Mabasi ya route ya Mbezi - Bagamoyo hayajagoma
Niko ndani ya Bajaj, kumbe Inawezekana