Mabadiliko ya mitaala

idiomer

Senior Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
195
Reaction score
228
1961- 1967
Mtaala baada ya uhuru wa Tanzania. Hapa ulikua ni kutoa mifumo ya kikoloni na kuwekeza katika historia, utamaduni na Kiswahili kwa Tanzania na bara la Afrika kwa ujumla.

1967 -1987
Elimu ya kujitegemea
Hii ilijenga zana ya kuwa na shughuli mbalimbali za kilimo na ushirika katika jamii. Ilifanikiwa sana.

1981- 1999

Mabadiliko makubwa ya kielimu. Tume ya Makweta. Musoma resolution. Hapo kulikuwa na Adult and direct entry students. Na mature age alentrancd examinations chuo kikuu cha Dar es Salaam.

2000-2015.
Maenddleo ya Idara ya Elimu kwa shule za msingi na sekondari.
Elimu bure kwa shule za msingi na sekondari. Upanuzi wa shule za sekondari. Elimu msingi.

2005 -2023
Mtaala wenye kuzingatia Umahiri

shule za awali kabisa, msingi na sekondari kuwa katika mtiririko huo.

Mtaala mpya 2023
Elimu ya msingi kuwa kidato cha nne . I hadi VI na kidato cha I hadi IV.
Hapa ni ujuzi, kufikiri kwa kina, ubunifu na mawasiliano chanya kwa karne ya 21. Elimu ya ujumla na Elimu ya amali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…