mtanzania07071989
Senior Member
- Aug 12, 2012
- 153
- 20
Jamani kama kuna wakati wa kuonyesha uzalendo kama watanzania ndio sasa,tuungane wote kupinga upuuzi huu wa wabunge kulipwa milioni 160,hilo ni ongezeko la zaidi ya asilimia 200,kutoka milioni 43 walizokuwa wakilipwa mwanzo kama mafao ya kustaafu ubunge baada ya miaka mitano.CHADEMA,CUF,NCCR,TLP na vyama vingine vya upinzani tuungane TUFANYE MAANDAMANO NCHI NZIMA kupinga unyonyaji huu.Vinginevyo nitawaona wote wanafiki,wachumia tumbo.
vipi kuna msiba Huku anza kukusanya rambirambiHahahahaha,
Hapo Mbowe na Lema lazima wakufukuze uanachama kwa kosa la kutaka kupunguza mapato ya wakuu
hahahahaha,
hapo mbowe na lema lazima wakufukuze uanachama kwa kosa la kutaka kupunguza mapato ya wakuu
Jamani kama kuna wakati wa kuonyesha uzalendo kama watanzania ndio sasa,tuungane wote kupinga upuuzi huu wa wabunge kulipwa milioni 160,hilo ni ongezeko la zaidi ya asilimia 200,kutoka milioni 43 walizokuwa wakilipwa mwanzo kama mafao ya kustaafu ubunge baada ya miaka mitano.CHADEMA,CUF,NCCR,TLP na vyama vingine vya upinzani tuungane TUFANYE MAANDAMANO NCHI NZIMA kupinga unyonyaji huu.Vinginevyo nitawaona wote wanafiki,wachumia tumbo.
Hahahahaha,
Hapo Mbowe na Lema lazima wakufukuze uanachama kwa kosa la kutaka kupunguza mapato ya wakuu
Hahahahaha,
Hapo Mbowe na Lema lazima wakufukuze uanachama kwa kosa la kutaka kupunguza mapato ya wakuu
Jamani kama kuna wakati wa kuonyesha uzalendo kama watanzania ndio sasa,tuungane wote kupinga upuuzi huu wa wabunge kulipwa milioni 160,hilo ni ongezeko la zaidi ya asilimia 200,kutoka milioni 43 walizokuwa wakilipwa mwanzo kama mafao ya kustaafu ubunge baada ya miaka mitano.CHADEMA,CUF,NCCR,TLP na vyama vingine vya upinzani tuungane TUFANYE MAANDAMANO NCHI NZIMA kupinga unyonyaji huu.Vinginevyo nitawaona wote wanafiki,wachumia tumbo.
Hahahahaha,
Hapo Mbowe na Lema lazima wakufukuze uanachama kwa kosa la kutaka kupunguza mapato ya wakuu