Soma vizuri andiko, lengo ni kuonesha kuwa kilimo sio shughuli pekee ya kujenga uchumi wa nchi.Zanzibar pesa waonazipata kwenye,uvuvi na biashara za ndani na nje ya nchi na wanunuzi wakubwa wa mazao ya bara na kuuza Zanzibar pia ndio wafanyabiashara wakubwa bara mfano wapemba wamejaa huku wakifanya biashara bara na Zanzibar Pia ndio wameshika sekta ya utalii kuanzia sehemu za vyakula,nyumba za kupangisha wafanyakazi wa sekta ya utalii kama mahoteli nk hupanga vyumba vya nyumba zao Kwa bei Kali na wapangaji wengi wafanyakazi huko wanataka bara ambao wamejazana hasa kwenye kazi za mahoteli mamia ya kitalii yaliyoko Zanzibar .
Mleta mada unaonyesha hujafika Zanzibar
Ferry Dar wavuvi wa Zanzibar huleta samaki Kila siku wakiuza wanageuza wanarudi zao Zanzibar
Mwongo wewe, samaki wa Zanzibar wanaishia Forodhani pale.Ferry Dar wavuvi wa Zanzibar huleta samaki Kila siku wakiuza wanageuza wanarudi zao Zanzibar
Hujafika Zenji wewe! Umaskini uliopo huko, ni balaa, nenda Paje, Uroa, understand uone umaskini, hakuna cha ajabu, bila ma hotel ya kitalii, fedha ni ngumu Zenji, vijana kama sio madereva wana kuwa beach Boys, sex toys, kazi, za mahotelini zinafanywa sana na mabinti kutoka Bara, wa zenj, Imani za dini ni kikwazo, mabinti wa Zenji wao ni kuzaa tu na kuvaa ushungi! Na kusubiri pipe usiku.Aliyesema kilimo ni uti wa mgongo au kale kamsemo ka mhenga kuwa kama mnataka mali mtayapata shambani aje zanzibar.hata ule msemo wa kwenye bible kuwa hasiyefanya kazi asile aje unguja atengue kauli yake.
Unguja nzima ng'ombe walioko hawazidi 1000,mashanba yaliyopo yanatosha kulisha wilaya moja su mbili,lakini hutosikia Zanzibar wana njaa au wamekosa chakula,
Saa nne watu wanachezabao na dhumna ila ikifika mchana madogo wanakuja kuwaita wazazi wao kijiweni wakale
Uchumi wa bluu ndugu! Baharini kuna viumbe na vyakula mara elfu kuzidi kwenye mavumbi huko!Aliyesema kilimo ni uti wa mgongo au kale kamsemo ka mhenga kuwa kama mnataka mali mtayapata shambani aje zanzibar.hata ule msemo wa kwenye bible kuwa hasiyefanya kazi asile aje unguja atengue kauli yake.
Unguja nzima ng'ombe walioko hawazidi 1000,mashanba yaliyopo yanatosha kulisha wilaya moja su mbili,lakini hutosikia Zanzibar wana njaa au wamekosa chakula,
Saa nne watu wanachezabao na dhumna ila ikifika mchana madogo wanakuja kuwaita wazazi wao kijiweni wakale
Haijapata kusikika baa la njaa limeikumba Zanzibar kiasi cha kupelekewa chakula cha bure na serikali. Hiyo ndio hoja yake.Hujafika zenj wewe! Umaskini uliopo huko, ni balaa, nenda paje,uroa, understand uone umaskini, hakuna cha ajqbu, bila ma hotel ya kitalii, fedha ni ngumu zenj, vijana kama sio madereva wana kuwa beach Boys, sex toys, kazi, za mahotelini,zinafanywa sana na mabinti kutoka Bara, wa zenj, Imani za, dini ni kikwazo, mabinti wa, zenj, wao ni kuzaa tu na kuvaa ushungi! Na kusubili pipe usiku
Sasa muungano gani unayenufaisha upande mmoja tu? Hao wanzanzibar wenyewe ukiwauliza vipi muungano wanaukataa licha ya faida hizo wanazonufaika nazo, wakiamini kuwa wakiwa nje ya muungano kuna manufaa zaidi!!Ndiyo maana tutasema, yeyote anayepinga muungano wetu, na alaaniwe, daima, uovu umkute, ikibidi mauti yamchukuwe!
Neno kilimo limewakilisha kazi yoyote inayokuingizia kipato
Soma vizuri andiko,lengo ni kuonyesha kuwa kilimo sio shughuli pekee ya kujenga uchumi wa nchi
Uongo nenda soko la kimataifa la samaki la Ferry alfajiri wanzanzibari wako kibao wanashusha samakiMwongo wewe,samaki wa Zanzibar wanaishia forodhani pale.