hii imetokea kwe ligi ya mchangani mchezaji alifunga goli akawa anashangilia kwa furaha mbele ya mashabiki gafla wakamuona anatoka nje na kuingia kwenye gari na kuelekea mtaani kushangilia kisha akarudi uwanjani kuendelea kucheza refa alipoona vile akaamua kujipa mwenyewe red card na mechi ikaisha
hii imetokea kwe ligi ya mchangani mchezaji alifunga goli akawa anashangilia kwa furaha mbele ya mashabiki gafla wakamuona anatoka nje na kuingia kwenye gari na kuelekea mtaani kushangilia kisha akarudi uwanjani kuendelea kucheza refa alipoona vile akaamua kujipa mwenyewe red card na mechi ikaisha
hii imetokea kwe ligi ya mchangani mchezaji alifunga goli akawa anashangilia kwa furaha mbele ya mashabiki gafla wakamuona anatoka nje na kuingia kwenye gari na kuelekea mtaani kushangilia kisha akarudi uwanjani kuendelea kucheza refa alipoona vile akaamua kujipa mwenyewe red card na mechi ikaisha
Hii imetokea kweli! Mchezaji alikuwa amepewa yelow card, akawa substituted kituko, wakati wa anatoka akavua jezi kabla hajavuka mstari! Akatwangwa yelow nyingine ikawa red mwenzie akashindwa kuingia!