Sio kweli Waghana hawatumii huo mfumo kama wa Wakenya na moja ya sababu kubwa ndio hiyo Gharama kubwa, ambayo haiendani na hali halisi ya Uchumi wao!
Pia sio kweli kwamba Wamarekani wanatumia gharama ndogo kwa sababu eti wameanza zamani, bali wanatumia gharama ndogo kwa sababu wametafuta jinsi ya kutumia gharama ndogo, ili pesa inayobaki iende sehemu nyingine, kwa kifupi Wakenya wangekuwa na akili hawakupaswa kutumia huu mfumo kwani walipaswa kujua kabla kwamba una gharama kubwa sana!