hawa jamaa hata tukiandamana UCHI kuwapinga ni vigumu kuwashinda
jeshi la kwao
vyombo vya ulinzi na usalama ni vyao
mahakama ya kwao
majaji na mahakimu ni wa kwao
bunge ni la kwao
wabunge ni wa kwao
tume ya uchaguzi ya kwao
m/kiti wa tume ya uchaguzi ni wao.
mimi na wewe hatuna cha kuwafanya angalia jana kule znz hadi maiti zimepiga kura,madarakani watakaa mpaka watakapoachia lakini kwa njia ya kura hamna mwenye ubavu huo
muleba hawajadharauliwa chochote ila ni propaganda yenu ya kijinga. mnafikiri watu wote ni wajinga? kazi yenu kupotosha kila kauli ya jpm lakini watu wanaona vitendo vya rais wao nyie bakini na uongo wenu.Hawa ndio watanzania niliowajua baada ya uchaguzi mdogo.
"Mfano muleba"
1.Walipigwa tetemeko wakadhiakiwa,Waliambiwa serekali haijaleta tetemeko.Waliabiwa mwafaa,Wakaambiwa ukimwi ni kwenu.n.k.
Bado wameichagua Ccm.Pamoja na matatizo ya kimfumo,Ukiangalia kwa jicho la tatu.Tatizo si Ccm.Tatizo ni watanzania wenyewe hawajijui wanataka nini.
Kenya huwezi kuwadharau namna hiyo,Then hata wiki haijaisha ukapata kura."NO"Tena big"NO"Mwafaa muleba!
Hawa unatakiwa kuwaacha wanyooshwe haswa.Tatizo sio chama tatizo uwa ni aina ya watu wanaosimamishwa ............
Mfano Mimi jimbo Langu likiwa na mtu kama Bashe lakini sio nitashindwa kumchagua Magufuli..............
Hivyo hivyo jimbo langu likiwa na mtu kama Lissu nitamchagua wakati siwezi kumchagua Lowassa......
Hawa ndio watanzania niliowajua baada ya uchaguzi mdogo.
"Mfano muleba"
1.Walipigwa tetemeko wakadhiakiwa,Waliambiwa serekali haijaleta tetemeko.Waliabiwa mwafaa,Wakaambiwa ukimwi ni kwenu.n.k.
Bado wameichagua Ccm.Pamoja na matatizo ya kimfumo,Ukiangalia kwa jicho la tatu.Tatizo si Ccm.Tatizo ni watanzania wenyewe hawajijui wanataka nini.
Kenya huwezi kuwadharau namna hiyo,Then hata wiki haijaisha ukapata kura."NO"Tena big"NO"Mwafaa muleba!
Usiwalaumu,, kura ni haki ya kila Mtz anayestahili kupiga kura,,
Hawa wananchi wamepima na kuamua kwa vitendo baada ya kuuona ukweli wa MKULU,,
Kwann binadamu tunauchukia UKWELI wakati Biblia imesema KWELI itakuweka Huru.?
JPM kasema kweli tetemeko halikuletwa na Serikali yake hii ni KWELI tupu,,
Hakuna Wizara yake yoyote iliyosababisha tetemeko kule Kagera KWELI imemuweka huru JPM.Na wananchi wa Muleba wameijua kweli kuwa tetemeko ni mpango wa Mungu wala si kosa la Serikali ya Jpm sasa wako huru baada ya kuijua KWELI wameichagua tena Ccm.
kaka kule znz kila chaguzi kuu CUF wanabeba lakini nani anayetangazwa mshindi? Angalia burundi,kenya,rwanda,zimbabwe chaguzi zao ndipo utapata jibuSawa mkuu,Ila lazima kuwaonyesha tumewachoka.Watz wakipiga kura za kuwakataa kwa wingi naofikiria.Hata hao wanaowabeba wataona aibu."mfano"Kuna wapiga kura 1000.Then 950 waka vote mabadiliko.Hapo hata wizi unagoma mkuu.
kwa tume hii, idadi ya wapiga kura 1,000 itageuzwa kuwa 1,950. Wana mabadiliko watakuwa 950 lakini CCM 1,000. back to square one.Sawa mkuu,Ila lazima kuwaonyesha tumewachoka.Watz wakipiga kura za kuwakataa kwa wingi naofikiria.Hata hao wanaowabeba wataona aibu."mfano"Kuna wapiga kura 1000.Then 950 waka vote mabadiliko.Hapo hata wizi unagoma mkuu.
Ukweli unauma lkn ni dawa.Wa muleba wamelielewa hilo.Usiwalaumu,, kura ni haki ya kila Mtz anayestahili kupiga kura,,
Hawa wananchi wamepima na kuamua kwa vitendo baada ya kuuona ukweli wa MKULU,,
Kwann binadamu tunauchukia UKWELI wakati Biblia imesema KWELI itakuweka Huru.?
JPM kasema kweli tetemeko halikuletwa na Serikali yake hii ni KWELI tupu,,
Hakuna Wizara yake yoyote iliyosababisha tetemeko kule Kagera KWELI imemuweka huru JPM.Na wananchi wa Muleba wameijua kweli kuwa tetemeko ni mpango wa Mungu wala si kosa la Serikali ya Jpm sasa wako huru baada ya kuijua KWELI wameichagua tena Ccm.
Siku zingine huwa nakuelewa sana MkuuTatizo sio chama tatizo uwa ni aina ya watu wanaosimamishwa ............
Mfano Mimi jimbo Langu likiwa na mtu kama Bashe nitamchagua lakini nitashindwa kumchagua Magufuli..............
Hivyo hivyo jimbo langu likiwa na mtu kama Lissu nitamchagua wakati siwezi kumchagua Lowassa......
Mimi nashauri tuache ushabiki Wa vyama tuchague watu wenye uwezo wa kusimamia masilahi ya nchi sio wauni hata kama yupo chadema mtu ambaye aeleweki mkatae.................
Hiki ndio kinakwamisha maendeleo itikadi ndio maana majitu mengine yakichaguliwa yanaenda kufanya Kazi ya wanachama baada ya kufanya Kazi ya wananchi.......
Ndugu yangu tumeimba wimbo huu ulioandika miaka yote ....mbaya zaidi tunafanya yaleyale ....tunakuja hapa kufarijiana ....very simple ....shame!!Hakuna uchaguzi Mkuu ni mazingaombwe tu!
Tatizo sio chama tatizo uwa ni aina ya watu wanaosimamishwa ............
Mfano Mimi jimbo Langu likiwa na mtu kama Bashe nitamchagua lakini nitashindwa kumchagua Magufuli..............
Hivyo hivyo jimbo langu likiwa na mtu kama Lissu nitamchagua wakati siwezi kumchagua Lowassa......
Mimi nashauri tuache ushabiki Wa vyama tuchague watu wenye uwezo wa kusimamia masilahi ya nchi sio wauni hata kama yupo chadema mtu ambaye aeleweki mkatae.................
Hiki ndio kinakwamisha maendeleo itikadi ndio maana majitu mengine yakichaguliwa yanaenda kufanya Kazi ya wanachama baada ya kufanya Kazi ya wananchi.......