Maajabu Muleba, Walidharauliwa ila bado wamechagua tena CCM

Hawa ndio watanzania niliowajua baada ya uchaguzi mdogo.
"Mfano Muleba"

1.Walipigwa tetemeko wakadhiakiwa,Waliambiwa serekali haijaleta tetemeko.Waliabiwa mwafaa,Wakaambiwa ukimwi ni kwenu.n.k.

Bado wameichagua CCM.Pamoja na matatizo ya kimfumo,Ukiangalia kwa jicho la tatu.Tatizo si CCM.Tatizo ni watanzania wenyewe hawajijui wanataka nini.

Kenya huwezi kuwadharau namna hiyo,Then hata wiki haijaisha ukapata kura."NO"Tena big"NO"Mwafaa muleba!

Muleba ni Zaidi ya waungwana hawaukimbii ukweli.Wanajua kuwa jiwe huitwa jiwe.Wanawajua waungwana hawasubiri msiba ukufike ndipo wakusaidie.Wana shule kubwa kuliko waliotamani kuwadanganya.
 
hao jamaa wanaakili ya katerelo na mto wa ngono,usiwashangae! watu wa masifa hata kwa mambo ya kipumbavu huku wanaumia!
 
hawa jamaa hata tukiandamana UCHI kuwapinga ni vigumu kuwashinda
jeshi la kwao
vyombo vya ulinzi na usalama ni vyao
mahakama ya kwao
majaji na mahakimu ni wa kwao
bunge ni la kwao
wabunge ni wa kwao
tume ya uchaguzi ya kwao
m/kiti wa tume ya uchaguzi ni wao.

mimi na wewe hatuna cha kuwafanya angalia jana kule znz hadi maiti zimepiga kura,madarakani watakaa mpaka watakapoachia lakini kwa njia ya kura hamna mwenye ubavu huo
Ccm hawajashinda muleba..wameiba kura na kulazimisha matokeo..
 
CCM kuwatoa labda kwa ngumi sio kwa karatasi maana wana kila kitu cha kuzuia ushindi usipatikane, viongozi wote muhimu wanaosimamia uchaguzi ni CCM, jeshi lote ni CCM, sasa hapo utashindaje ukileta ubishi unaambiwa umeleta uchochezi unatiwa ndani, tusuburi huruma ya CCM kwa upinzani kuingia madarakani
 
hawa jamaa hata tukiandamana UCHI kuwapinga ni vigumu kuwashinda
jeshi la kwao
vyombo vya ulinzi na usalama ni vyao
mahakama ya kwao
majaji na mahakimu ni wa kwao
bunge ni la kwao
wabunge ni wa kwao
tume ya uchaguzi ya kwao
m/kiti wa tume ya uchaguzi ni wao.

mimi na wewe hatuna cha kuwafanya angalia jana kule znz hadi maiti zimepiga kura,madarakani watakaa mpaka watakapoachia lakini kwa njia ya kura hamna mwenye ubavu huo
Kama ni hivyo mbona kule kasikazini hawashindi mkuu
 
Inawezekana hawakuipa fisiem kura kabisa tazizo wamejiwekea mfumo wa kiwizi mnomno! tupinge mfumo huu na tuombe usaidizi nje ya Nchi hasa ulaya na marekani tuwe na tume huru ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom