M4C PAMOJA DAIMA:Ni vipi kuhusu DAR?

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Wanandugu wa jf kwa yeyote mwenye kujuwa kama m4c pamoja daima kama wakuja dar maana huu moto kwa sisi wanachama wa dar tumeutamani makamanda wangefungia jangwani kama kawaida kwa mtu anayejuwa ratiba atujuze tuanze kujiandaa mapema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…