Mkuu vip hizi habari za kusema kuwa for now wale wote waliokuwa karibu na kabila hasa viongozi wanatekwa, kuondolewa kinga kama wanazo hasa swahil and kirwanda speakers wanafungwa, na kuuawa na next stop itakuwa kwa Moise Katumbi, hii imekaaje?
Japo umechanganya, ila kuna kaukweli ndani yake.
Kumbuka, siku zote rais Felix, amekuwa akiwatuhumu wanajeshi wakuu, waliofanya kazi na Kabila, usaliti unaopelekea maelfu ya wanajeshi kupoteza, maisha, na wao kukimbia vita. Mpaka sasa, inasemekana majenerali 24 wapo rumande.
Siku zote ukiachana na DRC tu! nchi yoyote ukibainika we ni msaliti, au kuna chembe za usaliti, mchezo wa kukuchunguza, huo haupo.
Mawaziri wengi wamekuwa wala rushwa,jambo ambalo limewaudhi raia,baada ya madudu yao kuanikwa. Hayo yanaanikwa kutoka kule juu kabisa. Kwa maana kuna watu wapo kwa ajili ya kuivuruga serikali.
M23, ina kila aina ya siri ya ndani ya serikali. Wanaoongea Kinyarwanda na kiswahili, si kweli. Mfano hai ni General Masunzu. Ni mnyamulenge pure, ila yupo upande wa serikali. Na mpaka sasa, wanyamlenge walishagawanyika makundi mawili. Iwe walipo nchini kwao, kambini Burundi na Rwanda, au waishie nchi za ulaya na marekani.