Usituhadae,
Mh. Mbowe hajawahi kuwa na kadi ya Ccm tangu azaliwe na wapo wengi wa namna hiyo.
Na sio wote walio toka Ccm wako na njaa ya Mrema. Kama alishindwa kuimarisha TLP akiwa mbunge ataimarisha chama kwa sitting allowance za parole???
Kwisha habari yake huyo.