Kapyepye Mfyambuzi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 542
- 918
Haujaelewa sehemu gani ili nirudie kufafanua swali?Sijaelewa
YES. Utajua siri na historia yote ya mtu husika.Habari wakuu?
Husikeni na kichwa Cha habari hapo juu. Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia thread mbalimbali zinazoielezea Lucid dreaming. Zinaelezea ya kwamba lucid dreaming ni kwaajili ya kujifurahisha tu na vilevile unaweza ukajifunza hata baadhi ya mambo kama vile kusoma vitabu, lugha za kigeni, kuendesha gari kama haujui na kadhaa wa kadha. Pia inasemekana hata mtunzi wa filamu ya "The Matrix" alitumia Lucid dreaming kutengeneza hiyo story.
Mfano wa filamu kama hiyo ambazo zilitaka kufanana na maudhui ya lucid dreaming ni X-Men, Fantastic4, Green Lantern, Lucy, Super-Man, Hulk, Avatar, Thor na Aquaman. Amaizing ukiwa ndotoni halafu wewe ndo staring.
Nauliza kwa wataalam wa hizi mambo, Je, unaweza ukamuuliza mtu unayemtaka historian ya maisha yake au ukweli juu ya Jambo fulani, na kama akikujibu humo ndani ya lucid dreaming, hilo jibu ukiamka itakuwa ndio ukweli kiuhalisia kwenye maisha ya kawaida?
Nawasilisha
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu, nimekuelewaYES. Utajua siri na historia yote ya mtu husika.
Lucid dreaming ni ile hali yakuwa unalala usingizi huku akili yako iko macho na unaota ndoto huku unajuwa kuwa unaota, unakuwa na uwezo wa kuya-control matukio yote ndotoni jinsi unavyotaka iwe, mfano, unataka uongee na Trump unavuta picha yake anatokea na unaongea nae,,, unatamani kwenda kusoma Chuo kikuu Carifonia unavuta tu image ya Chuo hicho unajikuta upo maeneo hayo na waalimu pamoja na wanafunzi.What is lucid dreaming? Usiniambie nika-google.
Ok thanksLucid dreaming ni ile hali yakuwa unalala usingizi huku akili yako iko macho na unaota ndoto huku unajuwa kuwa unaota, unakuwa na uwezo wa kuya-control matukio yote ndotoni jinsi unavyotaka iwe, mfano, unataka uongee na Trump unavuta picha yake anatokea na unaongea nae,,, unatamani kwenda kusoma Chuo kikuu Carifonia unavuta tu image ya Chuo hicho unajikuta upo maeneo hayo na waalimu pamoja na wanafunzi.
Wakati unaanza kulala (umejilaza unautafuta usingizi) akili yako inafanya imagenation ya mtu, kitu au sehemu ya eneo amalo unataka uwepo, taratibu usingizi ukikupitia unajikuta upo eneo husika lakini akili yako inakuwa itambua kuwa unaota. Unakuwa na uwezo wa kupaa, na kufanya mambo kuliko kawaida. Lakini ni ndoto tuInterested, inakuwaje hii
Sehemu ya utambuzi ya ubongo inakuwa haijalala ndio maana yanatokea hayaHii hali ninayo tangu niko mtoto now ni mtu mzima.
Naweza kuwa naota najua kabisa, wakati mwingine najisema hii ndoto isiishe mapema ni nzuri naamua kuindeleza.
Wakati fulani nikiona ndoto ni mbya pengine nutumbukia kwenye shimo au napigwa risasi naamua kuikatisha hiyo ndoto.
Sikuwahi kuelewa ni kitu gani hiki kuota huku unajua unaota
Ukiwa tayari umepiga Cha Arusha?Lucid dreaming ni ile hali yakuwa unalala usingizi huku akili yako iko macho na unaota ndoto huku unajuwa kuwa unaota, unakuwa na uwezo wa kuya-control matukio yote ndotoni jinsi unavyotaka iwe, mfano, unataka uongee na Trump unavuta picha yake anatokea na unaongea nae,,, unatamani kwenda kusoma Chuo kikuu Carifonia unavuta tu image ya Chuo hicho unajikuta upo maeneo hayo na waalimu pamoja na wanafunzi.