Watu wana muona Mh Lowassa kama mamluki wa chadema. Kwa ushauli wangu, kwa siku zilizo baki Rais wangu mpendwa dhihilisha kwamba wewe ni kamanda, na vaa combati kwanzia kesho mpaka mwisho wa kampeni.
Tunamiona Mbowe kama kawa anatinga kombati yake kila siku, na wewe kama mpeperusha mbendea, ya chadema vaa kwa kuonyesha wewe ni chadema na sio mamluki.