jamani ukawa na na malofa wengine fanyeni research!!reseach always bring a goog answear!!!njoeni na tafiti hapa c porojo za robot!!!ni mikoa ipi lowasa ataongoza kwa asilimia 90 na ipi pombe magufuli ataongoza kwa 90%!!!!!kwa mfano dar es salaam wamejiandikisha watu 2.8 milion!!wakati dar kuna wakazi 8 milion!!!acheni mambo ya media na upambe!!!dr magufuli ndiye rais mpaka sasa!!!research zinaonyesha anaungwa mkona kwa 90% mikoa ya simiyu,ruvuma,njombe,katavi,pwani,morogoro,dodoma,tanga,geita,tabora,shinyanga,mara,na rukwa!!!lowasa ana ungwa mkona kwa 90% manyara,arusha,kilimanjaro,singida,na iringa!!!!!na kwingine tanzania wanazidiana kwa karibu sana