Lowassa Ni Aje?

DaveSave

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2010
Posts
440
Reaction score
645
Aliyemchagulia Lowassa sehemu ya kukaa ana chuki 😡..... yaani kama vile kumuweka kaunta mtu anayejitaidi kuacha beer.
 
Hahaa wamemchoresha hadi basi
mbaya zaidi hakuwa na mtu wa kuongea nae
wenzie wote walikuwa wanazungumza na kucheka
Lowassa alikuwa tu amezubaa
 
Hahaa wamemchoresha hadi basi
mbaya zaidi hakuwa na mtu wa kuongea nae
wenzie wote walikuwa wanazungumza na kucheka
Lowassa alikuwa tu amezubaa

kati yao mh. membe, lowassa na pinda nani kazubaa zaidi?
 
Hahaa wamemchoresha hadi basi
mbaya zaidi hakuwa na mtu wa kuongea nae
wenzie wote walikuwa wanazungumza na kucheka
Lowassa alikuwa tu amezubaa

Duh! Ila Jamani Lowassa Alikuwa Anatia Huruma Sana Kama Mlikuwa Mnamwangalia Na Nadhani Anawaza Atarudishaje Hela Za Watu Yasije Yakamkuta Ya Hayati Captain Komba.
 
Membe nilimuona kama analia vile then mkewe akawa anambembeleza, pia kaka mtu akageuka dictor...nasema hakuna kushangilia...eeh, ndio hivyo hakuna kushangilia...unachezea kura wewe 120 kati ya....mtajaza
 
Sasa kwa style ile,c kura watachakachuuua!!!!!!!!!

Yani kikao kinahairishwaaaa,wagombea hawatoi hata mawakala! Eeh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…