Habari wanajamvi. Napenda nianze na kusema Toka mh Lowassa kajiunga na CHADEMA mambo mengi sana yamebadilika...
Chadema ya leo hawatukani tena matusi wala kuleta vurugu kama mwanzo na badala yake wao ndio wanatukanwa na chama tawala matusi mbali mbali ikiwa ni pamoja na ya nguoni.
Chadema ya leo hawafanyi fujo hata pale haki zao zinapo kandamizwa na chama tawala.
Chadema sio chama cha kushutumu watu na kutumia ufisadi na rushwa kama ndio ilani au agenda yao kuu.
Aksante Mh Ngoyai na hii ni chadema niliyo iotaaa..
Mlungula huo hapo kwenye bahasha ya khaki
Habari wanajamvi. Napenda nianze na kusema Toka mh Lowassa kajiunga na CHADEMA mambo mengi sana yamebadilika...
Chadema ya leo hawatukani tena matusi wala kuleta vurugu kama mwanzo na badala yake wao ndio wanatukanwa na chama tawala matusi mbali mbali ikiwa ni pamoja na ya nguoni.
Chadema ya leo hawafanyi fujo hata pale haki zao zinapo kandamizwa na chama tawala.
Chadema sio chama cha kushutumu watu na kutumia ufisadi na rushwa kama ndio ilani au agenda yao kuu.
Aksante Mh Ngoyai na hii ni chadema niliyo iotaaa..
Nenda kawambie takukuru pumbabu wewe
unaeona maovu na kuyakumbatia Ww ndio pumbavu ulie tukuka kenge mkubwa! samahani lakini
TCRA mko wapi? au sheria yenu haina meno?
unaeona maovu na kuyakumbatia Ww ndio pumbavu ulie tukuka kenge mkubwa! samahani lakini
Asante,lkn kazi takukuru unaijua?nenda kawaambie
Takukuru inaanza na ww kichwani kwako! Ukiwa mtu wa kuona maovu na kutaunga mkono ndio tuna tengeneza na kukomaza mafisadi pia haukuishia hapo ukaniongezea na lugha ya mkapa inayo wahusu wanao husika wakati mm sikumbatii ubazazi! Lala salama HAPA KAZI TU
Lowasaaaaaaaaaaaaa
..........Duh!
Kenge wewe acha uongo,unafikiri watu ni mbululula kama wewe,hao ni watu wawili tofauti,na tinawafahamu
Kenge wewe acha uongo,unafikiri watu ni mbululula kama wewe,hao ni watu wawili tofauti,na tinawafahamu