Usishangae huyo ndio iliyokuwa ilaaani ya CDM aliokuwa anaisimamia mara kwa mara ,kumtoa babu seya gerezani ,kumleta daudi balali , yeye kamwe hakuwahi kukemia sawala laUFISADI maana ndio maisha aloyaishi ,na hata pale arusha WAKATI anatangaza nia ,alisema ile hela ya kuwaleta watu na kugharamia ule mkutano 1.5b alisema alichangiwa na marafiki wake kama akina KARAMAI ,ROSTAM,MENGI ,na akasema anatamani awe na akina KARAMAI KAMA 200 hivi huyo ndio LOWASA