Love's diary

Tunaofuatilia ni wengi kuliko tunao commet kwahyo we tupe story
 
UK7... Walipoondoka tu ndipo akaona na yeye kuwa amepata njia ya kuondoka. Alifanya hivyo kwa kuona ananyanyaswa na mwanaume mwenzake kisa kukaa pale, aliona ni bora wangemnyasa waliompeleka pale kuliko mtu anaeshi kwa girlfriend wake. Hivyo aliamua kwenda ovyo jijin ambako alikuwa hapajui hata chembe. Marry na dadaye walishangaa kutomkuta michael nyumbani pindi waliporudi kutoka kwenye shughuli zao. Kwan mara nying walikuwa wakitoka pamoja kutokana na agnes na marry kufanya kaz katika makapun yaliyoko jiran jiran. Hivyo ilikuwa si rahis kwao kujua yalioko nyumban. Hiyo ilikuwa zaidi kwao kwan hawakutarajia kama michael angeweza kufanya vile. Walijiuliza maswal na kuwaza kwamba ni yapi mabaya waliyomfanyia michael mpaka ameamua kutoroka? Walijiuliza na kukosa majibu. Walimfuata erasto na kumuuliza maswal juu ya michael. Lakin erasto alijifanya kutofahamu chochote kuhusu michael. Walidhamiria kumtafuta mpaka wampate. Lakn utafutaji wao haukuzaa mafanikio yoyote yale. Walikata tamaa ya kumpata tena. INAENDELEA
 
Unaweza kuwa na wazo zuri ila presentation ya wazo lako ikafanya nia yako nzuri isionekane,kwani paragraph ngapi zinazotakiwa ili kukamilisha chapter moja?
 
UK8... Sku kadhaa zikapita. Siku moja katika pita pita yake ya mjin michael ndipo akakutana na polis wakiwa wanawakamata vijana wanaotembea ovyo mjin. Msako huo ulifanywa hasa baada ya usiku wa jana yake majambaz kupora mal katka baadh ya maduka mjin. Michael alshikwa na kupelekwa rumande kwa kusubir dhamana au kfungo. Alkaa huko ndan yapata miez kadhaa kwa kuwa alkuwa hana ndugu mjin wa kumdhamania. Siku moja Jiran yao marry na agnes alshtakiwa kwa kosa la kuonekana amekula mal ya kampun. Hvyo alitakiwa ampate mdhamin ambae hakuwa mwngine ispokuwa agnes. Sku ya kes ilipofika ndpo walipoenda mahakan kwa niaba ya kuadhamania jiran yao. Walfika mapema na kusubir mahakama ifunguliwe. Walimdhamania jiran yao. Wakat kes zikiendelea ndipo waliposhangaa kumuona michael akiletwa kizimban. Walimuonea huruma kwa kuwa alkuwa amekonda sana. Marry alnong'onezwa na mtu aliyekuwa amekaa nae kuwa; kijana huyu anaonekana hana kosa maana kes yake haina ushahid na hiv yapata miez 4 sasa ila wanashindwa kumuachia. ITAENDELEA....
 
Paragraph kumi ndio chapter, maana haya ni maneno ya simu siyo kompyuta. na zipo chapter 3. msishangai kwamba jina na kilichoandikwa ni tofaut? lahasha kwan ndio inaelekea kwenye love & life's diary.
 
Kuna maneno yameandikwa page 1 and 2. Kwa hiyo kama upo page 1 zingine page 2 na kama upo page 2 zingine page 1.
 
Mkuu hebu acha longolongo malizia stori fasta, ujue kuna mtu namsimulia hapa sasa kashaanza kuniona miyeyusho...

Kuna maneno yameandikwa page 1 and 2. Kwa hiyo kama upo page 1 zingine page 2 na kama upo page 2 zingine page 1.
 
Mkuu hebu acha longolongo malizia stori fasta, ujue kuna mtu namsimulia hapa sasa kashaanza kuniona miyeyusho...

hahahahahahahaaaa. Pole sana
 
Haileweki hata!ina mafunzo gani kwa jamii sasa?
 
Tatizo umezoea maigizo ya bongo, scene za mwanzo tu unajua unajua maudhui yote... kama umesoma vitabu sekondar utakuwa na uelewa wa kujua mafunzo mpaka mwisho wa stori.
 
Tatizo umezoea maigizo ya bongo, scene za mwanzo tu umeshajua maudhui yote... kama umesoma vitabu sekondar utakuwa na uelewa wa kujua mafunzo mpaka mwisho wa stori.
 
UK9... Pindi walipomkuta mahakaman ndipo walipoamua kufanya taratibu za kumdhamania. Taratibu zilipokamilika za kumdhamania, alitolewa nje. Alishangazwa sana kuwaona kama waliomdhamania ni wale ambao aliokuwa anaishi kwao. Moyo wake ulisita kabisa kurud kule kwa kuogopa kuteswa tena. Lakin walimbembeleza sana waende nae na kuahidi kumtunza na kumuangalia kwa umakin kwan mawazo yao yaliwatuma labda wao ndio chanzo. Marry alijiuliza au kwasababu namuambia anieleze kilo mkuta? Marry alijiapiza kutomuuliza tena. Michael hakuwa na jins, ilimbidi akubar kwenda kwan mjini hakuwa na sehemu ya kwenda ispokuwa kwake agnes. Ndipo walipoenda nae tena nyumban. Muda huo alikuwa marry yupo mapumziko kikaz hivyo ilikuwa rahis kwake kumuangalia ili aweze kupata furaha. Si ndugu yao wanaemfanyia haya yote, wala mpenzi wa mmoja wao kati ya wanawake wawil hao, hapana ni mtu baki tu ambae walimchukua kutokana na kumgonga na gari. Sasa michael alioenekana anaanza kujiwa na furaha ambayo ilimfanya marry aanze ... INAENDELEA...
 
Hii inafaa kuwa bongo movie...... ila hata kabla sijasoma sehemu ya pili nimeshajua mwisho wake..... huyu michael anaweza kufall in love kwa mmoja wa hao wasichana then kuna usaliti utatokea baadae.. bila shika itakua hivo tu
 
UK10.. Kuwa na furaha pia. Marry alimpeleka sehemu mbalimbali Michael za jiji pamoja na baadh ya vijiji vyake ili aone kama ataweza kutambua kwao. Lakn hakuna chochote alichoonyesha kama ni eneo analolitambua. Ndipo marry alipatwa na shauku ya kujua zaid kuwa, michael alikuwa anatokea sehemu gani na kwann alikuwa katika hali ile ya mawazo na kukimbia ovyo mpaka kusababisha wao wamgonge na gari. Siku iliyofuata alikwenda nae beach. Huko beach michael alionekana mwenye huna pia na furaha. Marry aligundua kuwa eneo kama zile inaonekana michael aliwahi kwenda ndio maana anaonekana mwenye furaha pia hapo hapo ana huzuni. Ilikuwa ni nafasi kwa marry kujua ni yapi yaliyomkuta. Hivyo alimliwaza kwa kucheza nae baharin na hatimae wakaenda kunywa vinywaji. Ndipo marry alianzisha mazungumzo. Walipoongea kwa muda mrefu, ndipo marry alipoamua kumuuliza kwa ustarabu matatizo yaliyomkuta. Michael aliamua kumuhadithia kwa kuwa alimuamin sana na kumuona n muaminifu. Michael alianza kumsimulia haya.. END OF CHAPTER ONE.
 

ebu acha kutufanya sisi mazuzu wenzio,kama umeamua kutuwekea hadith yote hapa iweke,na sio kutuwekea vitu nusu nusu.
 
CHAPTER 2 UK1..... Michael ndipo alipoamua kumuahadithia yaliyomkuta mpaka yeye kuwa katika jiji lile na kutotambua kwao tena. Hadithi aliyomsimulia ni hii.... Michael ni mtoto pekee wa mzee Andral Syndrome na bi. Sarah michael. Mzee huyu alifahamika maeneo mengi ya jiji kwa kuwa na uhusiano wa karibu na jirani pamoja na jamaa zake. Mzee andral alikuwa tajiri mkubwa jijin mwenye makampun nje na ndan ya jiji alimoishi. Hivyo michael alikuwa ndie mtoto pekee kwa bi. Sara. Lakn mzee andral alimwambia bi. Sara kwamba alikuwa na mtoto mwingine katka mkoa tofaut na ule. Michael anasema kwamba... Basi niliish kwa furaha sana na nikawa na matumain kwamba ipo siku baba ataenda kumchukua huyo kaka yangu. Nilitaman sana nimfahamu huyo ndugu yangu na kuish nae pamoja. Kwan tangu udogo wangu mama alinifundisha kuwa na upendo kwa watu wa aina zote bila kubagua hal zao. Ilinifanya niwe na rafiki weng sana. Lakn mara nying mlinz alnizuia kwenda nje kukaa na jamaa. Hivyo muda mwingi nilikaa nyumban na kujisomea. ITAENDELEA..
 
Ndipo siku moja baba alipokuja na kuniambia kwamba, angeona raha kama ningemuoa bint wa rafiki yake. Nilishangazwa sana na mm nikawa nimemuuliza msichana mwenyewe. Aliniambia kwao na huyo msichana na msichana mwenyewe. Nilimdadisi baba kuwa yeye alilitoa wapi wazo la mm kumuoa binti yule? Ndipo alinielezea kuwa binti alimuelezea baba yake kwamba angependa aolewe na mimi. Ndipo baba yake alipojadili na baba suala hilo. Urafk wa baba na baba yake bint ni kwasababu ya biashara zao. Hivyo, walionelea ni bora wadumishe undugu kupitia sis. Kiukwel bint yule sikuwa na wazo nae hata chembe. Kwan alikuwa ni mtu wa kujiona sana na mwenye roho mbaya ya kupindukia. Hakuwa mwenye kuthamin waliomuomba msaada. Pia aliwadharau watu wa hali ya chini sana na kuwatishia maisha wale waliomfuata. Hali hiyo na sifa hizo hazikunipendeza sana. Sikutaman kuwa na uhusiano wa karibu nae kuanzia kimapenz hata kimazungumzo. Sikuweza kumuonyeshea baba kama mtu yule mimi simuhitaji. Baba alisisitiza sana swala hilo la kuoana mm na yule....
 
Hizi stori za kukatikakatika kama umeme wa TANESCO zinanikera sn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…