Logo Logo!! Taswira ya biashara yako

Logo Logo!! Taswira ya biashara yako

Joined
Apr 29, 2018
Posts
7
Reaction score
8
Mpo wengi mnaofanya hiyo biashara, ili Mteja aweze kukumbuka na kukutofautisha na wengine lazima uwe na logo(Nembo) inayotambulisha biashara yako.
Karibu Ujipatie Usanifu(Designing) bora kwa bei nafuu kabisa.
Logo Design Tshs.50,000/= tu
Business Card design Tshs. 20,000/= tu
Letterhead design Tshs. 20,000/= tu
Logo + Business card design Tshs.60,000/= tu
Logo + Letterhead design Tshs.60,000/= tu
Kwa mawasiliano zaidi;
Angalia kwenye picha.
MALIPO YATAFANYIKA BAADA YA KURIDHIKA NA KAZI YAKO
 
Kumbe unatumia ‘templates’? Sasa nani asiyeweza ku-customise?

Kwa hizo ‘letterheads’ zako kuwa na maandishi LOREM IPSUM... ni dhahiri kuwa una-download VECTORS na MOCKUPS na kubadili mwonekano kidogo sana, huo si ubunifu.

Kwa namna hiyo nitaamini vipi kama nembo (logo) zako siyo PLAGIARIZED?
 
Kumbe unatumia ‘templates’? Sasa nani asiyeweza ku-customise?

Kwa hizo ‘letterheads’ zako kuwa na maandishi LOREM IPSUM... ni dhahiri kuwa una-download VECTORS na MOCKUPS na kubadili mwonekano kidogo sana, huo si ubunifu.

Kwa namna hiyo nitaamini vipi kama nembo (logo) zako siyo PLAGIARIZED?
Mkuu hapo hakuna logo wala letterhead wala business card ambayo imecopiwa sehemu! Na kuhusu hayo maandishi ya LOREM IPSUM hayana effect yeyote kwasababu ni kuonesha tu letterhead ktk uhasilia baada ya kuwa printed inaonekana vipi, so badala ya LOREM IPSUM ningeweza kuweka hata mashairi ya Diamond, Ali Kiba, Jay Z au maneno yeyote yale!! Na ndio maana tunapost samples za kazi zetu, ili mteja ajiridhishe mwenyewe na kama haitoshi Huwa tunafanya malipo baada ya Mteja kuridhika na kazi yake.
KARIBU SANA MKUU!!
 
Kumbe unatumia ‘templates’? Sasa nani asiyeweza ku-customise?

Kwa hizo ‘letterheads’ zako kuwa na maandishi LOREM IPSUM... ni dhahiri kuwa una-download VECTORS na MOCKUPS na kubadili mwonekano kidogo sana, huo si ubunifu.

Kwa namna hiyo nitaamini vipi kama nembo (logo) zako siyo PLAGIARIZED?
Where are those logos ili tuzithaminishe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom